Farm for Sale in Gwata, Kijiji Cha Giza Ulole, Morogoro (30 acre)

Description
🌿 𝗙𝗨𝗥𝗦𝗔 𝗬𝗔 𝗨𝗪𝗘𝗞𝗘𝗭𝗔𝗝𝗜 – SHAMBA LINAUZWA GWATA, KIJIJI CHA GIZA ULOLE, MOROGORO 🌿
𝗪𝗶𝘁𝗼 𝗸𝘄𝗮 𝘄𝗮𝗸𝘂𝗹𝗶𝗺𝗮 𝘄𝗮𝗸𝘂𝗯𝘄𝗮, 𝘄𝗮𝗳𝘂𝗴𝗮𝗷𝗶 𝗻𝗮 𝘄𝗮𝘄𝗲𝗸𝗲𝘇𝗮𝗷𝗶! Hii ni fursa ya kumiliki shamba kubwa lenye rutuba kwa bei nafuu, linalofaa kwa kilimo cha kisasa, ufugaji wa kibiashara na uwekezaji wa muda mrefu.
📍 𝗠𝗮𝗵𝗮𝗹𝗶: Gwata – Kijiji cha Giza Ulole, Morogoro.
🛣️ 𝗨𝗺𝗯𝗮𝗹𝗶: Kilomita 7 kwa gari na kilomita 5 kwa pikipiki kutoka barabara kuu. Njia zinafikika kwa urahisi mwaka mzima.
📐 𝗨𝗸𝘂𝗯𝘄𝗮: Hekari 30.
💰 𝗕𝗲𝗶: TSh Milioni 25 tu kwa shamba lote.
Kwa nini uchague shamba hili?
✅ Udongo wenye rutuba unaofaa kwa kilimo cha mazao mbalimbali ya chakula na biashara. ✅ Eneo kubwa linalofaa kwa ufugaji wa ng'ombe, mbuzi, kondoo, kuku na mifugo mingine. ✅ Limepimwa rasmi na lina nyaraka za umiliki kwa usalama wa uwekezaji wako. ✅ Mauziano yote yanafanyika kwa mikataba ya kisheria iliyoandaliwa na mwanasheria kwa uwazi na uaminifu. ✅ Bei yake ni nafuu ukilinganisha na ukubwa wa eneo na fursa zilizopo.
Hii ni nafasi nzuri kwa mtu binafsi, vikundi, kampuni au taasisi zinazotafuta ardhi kwa ajili ya uzalishaji na uwekezaji wenye tija.
𝗡𝗕: 𝖵𝗂𝗌𝗂𝗍 𝗌𝗂𝗍𝖾 𝖿𝖾𝖾𝗌 100,000/=
📞 𝗞𝘄𝗮 𝗺𝗮𝘄𝗮𝘀𝗶𝗹𝗶𝗮𝗻𝗼 𝘇𝗮𝗶𝗱𝗶:0678-517 158 /0785-517 158
𝗗𝗮𝗹𝗮𝗹𝗶 𝗠𝘀𝗵𝗶𝘂 – Chaguo sahihi kwa huduma za uhakika za 𝗺𝗮𝘀𝗵𝗮𝗺𝗯𝗮, 𝘃𝗶𝘄𝗮𝗻𝗷𝗮 na 𝗻𝘆𝘂𝗺𝗯𝗮 ndani na nje ya Morogoro.




