Farm for Sale in Mikese Lubungo, Morogoro

Type
Farm
Nearest Road
2.5km
Amenities
Description
๐ฟ ๐๐จ๐ฅ๐ฆ๐ ๐ฌ๐ ๐๐๐ฃ๐๐๐๐ ๐ฌ๐ ๐จ๐ช๐๐๐๐ญ๐๐๐ โ SHAMBA LINAUZWA, ๐ ๐๐๐๐ฆ๐ ๐๐จ๐๐จ๐ก๐๐ข MOROGORO ๐ฟ
Je, wewe ni ๐บ๐ธ๐๐น๐ถ๐บ๐ฎ,๐บ๐ณ๐๐ด๐ฎ๐ท๐ถ ๐ฎ๐ ๐บ๐๐ฒ๐ธ๐ฒ๐๐ฎ๐ท๐ถ? Hii ni nafasi ya kumiliki shamba lenye uwezo mkubwa wa kuzalisha na kukuingizia kipato.
๐ Shamba lipo ๐ ๐ถ๐ธ๐ฒ๐๐ฒ ๐๐๐ฏ๐๐ป๐ด๐ผ,๐ ๐ผ๐ฟ๐ผ๐ด๐ผ๐ฟ๐ผ, upande wa kushoto ukitokea Morogoro kuelekea Dar es Salaam. Kutoka barabara kuu ni umbali wa ๐ธ๐บ.2.5 tu, na linafikika kwa urahisi mwaka mzima.
โ
Ardhi yenye rutuba inayofaa kwa kilimo cha mazao mbalimbali. โ
Eneo bora kwa ufugaji wa ng'ombe, mbuzi, kondoo, kuku na mifugo mingine. โ
Kuna kibwawa chenye maji kwa ajili ya umwagiliaji na matumizi ya mifugo. โ
Mazingira tulivu na salama yenye fursa kubwa ya maendeleo na uwekezaji. โ
Linafaa kwa kuanzisha shamba la kisasa, ranchi, bustani za matunda au mradi mwingine wa kilimo na ufugaji.
๐ฐ ๐๐ฒ๐ถ: ๐ง๐ฆ๐ต ๐ ๐ถ๐น๐น๐ถ๐ผ๐ป.20 tu (maongezi yapo).
๐ ๐ ๐ฎ๐๐ฎ๐๐ถ๐น๐ถ๐ป๐ผ: 0678 517 158 / 0785 517 158
๐ ๐๐๐๐ฒ๐บ๐ฏ๐ฒ๐น๐ฒ๐ฎ ๐๐ต๐ฎ๐บ๐ฏ๐ฎ: Ada ni ๐ง๐ฆ๐ต 50,000/=.
Usikose fursa hii ya kuwekeza kwenye ardhi yenye thamani inayoongezeka kila siku. Wasiliana na Dalali Mshiu โ The Best in Town โ kupanga ziara ya kutembelea shamba leo!















