Industrial Plot for Sale in Kisota, Kigamboni, Dar Es Salaam (1500 sqm)

Amenities
Description
🏭 KIWANJA CHA KIWANDA KINAUZWA – KIGAMBONI KISOTA, DAR ES SALAAM
Fursa adimu kwa wawekezaji! Pata kiwanja kinachofaa kwa kiwanda, godown, logistics au biashara nyingine kubwa katika eneo linalokua kwa kasi.
✅ Eneo: Kisota, Kigamboni – Dar es Salaam
✅ Ukubwa: Square Meter 1,500
✅ Kimepimwa na kina Hati ya Wizara
✅ Umbali wa mita 300 tu kutoka barabara ya lami
✅ Takribani Kilomita 4 hadi Darajani Kigamboni
✅ Takribani Kilomita 5 hadi Kigamboni Ferry
🔥 BEI IMEPUNGUA SANA!
❌ Kutoka TSh Milioni 300
❌ Ikashuka hadi TSh Milioni 250
✅ Sasa ni TSh Milioni 170 tu!
Usikose nafasi hii ya kuwekeza katika eneo lenye ukuaji mkubwa na ongezeko la thamani kila mwaka.
📞 Wasiliana nasi: +255 746 407 197
💼 Service Charge: TSh 30,000
📲 Instagram: @dalali_kigamboni_plots_forsale
#creatorsearchinsights #dalalikigamboni #dalalidaressalaam #dalalinyumbaviwanja #realestateapartment Kigamboni















