Residential Plot for Sale in Kinyerezi Mongolandege, Dar Es Salaam (400 sqm)

Amenities
Description
π KIWANJA KINAUZWA β KINYEREZI MONGOLANDEGE, DAR ES SALAAM π‘
β
Ukubwa: SQM 400
β
Umbali wa takribani dakika 3 kutoka barabara kuu
β
Kipo katika mtaa mzuri na unaokua kwa kasi
β
Gari linafika hadi kwenye kiwanja bila shida
π° Bei: TSh Milioni 48
Kiwanja hiki kinafaa kwa:
π Ujenzi wa nyumba ya makazi yenye nafasi kubwa ya bustani na maegesho.
π’ Ujenzi wa apartments au nyumba za biashara zenye uwezo wa kukuletea kipato kizuri cha kila mwezi.
π Eneo linafikika kirahisi kupitia Kinyerezi Mwisho au kutoka upande wa Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA).
π₯ Hii ni fursa nzuri ya kuwekeza katika eneo lenye maendeleo ya haraka.
π Gharama ya huduma: TSh 30,000/=
Wasiliana: +255 787 205 300
MilikiKeshoYakoLeo















