Residential Plot for Sale in Mapinga Kimere, Pwani (1050 sqm)
Amenities
Description
🏡 KIWANJA CHA MAKAZI KINAUZWA – MAPINGA KIMERE
📍 Eneo: Mtaa wa Kimere, Mapinga
Unatafuta kiwanja kwa ajili ya makazi au uwekezaji? Hii ni fursa nzuri kwako!
📐 Ukubwa: Meta za mraba 1,050 (1,050 sqm)
💰 Bei: TSh Milioni 35 (Inajadiliwa)
✅ Takribani Km 5 kutoka Bunju
✅ Takribani Km 3 kutoka Barabara Kuu ya Bagamoyo
✅ Miundombinu ya barabara ipo vizuri
✅ Maji na umeme vinapatikana karibu na eneo la viwanja
✅ Eneo linafaa kwa makazi na uwekezaji wa muda mrefu
📞 Kwa maelezo zaidi au kupanga kutembelea eneo, wasiliana na:
Latifa Mbonde
Real Estate Consultant
📱 0715 919 296
Karibu sana! Ukipata ujumbe huu, tafadhali uwashirikishe ndugu, jamaa na marafiki wanaotafuta kiwanja katika eneo la Mapinga Kimere.
#viralreelschallenge2025viralreelschallengejaiviralreelschallengeviralreelschallengechallenge #viral #realestateinvestment #everyone #trending













