Residential Plot for Sale in Tabata Segerea Chama, Dar Es Salaam (150 sqm)

Type
Residential Plot
Plot Size
150 SQM
Description
š” KIWANJA KINAUZWA ā TABATA SEGEREA CHAMA
š Eneo: Tabata Segerea Chama
š Ukubwa: SQM 150
š° Bei: TSh Milioni 4
Hiki ni kiwanja kizuri kwa uwekezaji wa nyumba za biashara na kukuletea kipato cha kila mwezi.
Unaweza kujenga:
šļø Single Rooms 4ā6 (choo kimoja cha pamoja), au
š Master Rooms 4 zenye choo cha ndani.
šµ Makadirio ya Kodi
Single Room:
* Kodi kwa chumba: TSh 80,000 ā 100,000 kwa mwezi.
* Ukijenga vyumba 6:
* 6 Ć 80,000 = TSh 480,000 kwa mwezi.
* 6 Ć 100,000 = TSh 600,000 kwa mwezi.
Master Room:
* Kodi kwa chumba: TSh 100,000 ā 120,000 kwa mwezi.
* Ukijenga master 4:
* 4 Ć 100,000 = TSh 400,000 kwa mwezi.
* 4 Ć 120,000 = TSh 480,000 kwa mwezi.
š„ Kwa bei ya Milioni 4 tu, hiki ni kiwanja kinachofaa kwa mtu anayetaka kuanza uwekezaji wa nyumba za kupangisha na kujenga chanzo cha kipato cha uhakika.
š° Service Charge: TSh 20,000/=
š¤ Udalali: 10%
š Wasiliana nasi: +255 688 412 890
Dalali Wakishua
Miliki Kesho Yako Leo!!!















