Search

Residential/Commercial Plot for Sale in Kinyerezi Kibaga, Dar Es Salaam (1000 sqm)

Sh. 220,000,000

Description

#Repost @dalali_mchina_tabata_kinyerezi
โ€”โ€”
๐Ÿกโœจ KIWANJA KINAUZWA โ€“ KINYEREZI KIBAGA โœจ๐Ÿก

๐Ÿ“ Location: Kinyerezi Kibaga โ€“ Dar es Salaam
๐Ÿ“ Ukubwa: SQM 1,000
๐Ÿ“œ Hati Miliki ipo
๐Ÿ’ฐ Bei: Milioni 220

โœ… Kiwanja kipo ndani ya fence
โœ… Neighborhood nzuri sana na yenye utulivu
โœ… Eneo limejengeka vizuri na lina hadhi
โœ… Nafasi kubwa ya kutosha kwa matumizi mbalimbali

Hapa unaweza:
๐Ÿ  Kujenga nyumba yako ya kifahari na kubaki na space kubwa ya kutosha
๐Ÿข Kujenga apartments za biashara
๐Ÿ˜๏ธ Kujenga nyumba za kupangisha
๐Ÿ“ˆ Kufanya uwekezaji wenye faida kubwa

Ni eneo zuri sana kwa makazi au biashara kutokana na mazingira yake mazuri na ukuaji wa eneo.

๐Ÿ’ผ Service charge / Gharama ya huduma: 50,000/=
๐Ÿ“ž Muhitaji piga: au

Karibu sana tajiri tufanye biashara ๐Ÿค

Dalali wa viwanja, nyumba, fremu na gari used

dalali_viwanja_nyumba_dar_

@dalali_viwanja_nyumba_dar_

View Listings
Dalali wa viwanja, nyumba, fremu na gari used