House for Rent at Kimara, Dar Es Salaam

video thumbnail
Sh. 38,000,000

Type

House

Description

๐ŸŒŸ KIWANJA CHA KUUZWA KIMARA BARUTI โ€“ FURSA ADIMU! ๐ŸŒŸ

Kiwanja kizuri kinauzwa Kimara Baruti, umbali wa dakika 7โ€“8 kutembea kutoka Stendi ya Mwendo Kasi.
Ukifika kwa bodaboda, ni Tsh 1,000 tu kufika kiwanjani.

๐Ÿ“ Ukubwa wa Kiwanja:
26 m ร— 16 m = 416 sqm
Marefu 26, mapana 16

๐Ÿ“ Mahali: Kimara Baruti โ€“ eneo tulivu, salama, na linalokua kwa kasi.

๐Ÿ’ง Huduma za Maji: Zipo karibu sana
โšก Umeme: Upo jirani
๐ŸŒ Huduma za jamii: Maduka, shule, usafiri, na vituo muhimu viko karibu

๐Ÿ  Matumizi Yanayofaa:
โ€“ Makazi ya familia
โ€“ Nyumba za kupangisha
โ€“ Ujenzi wa nyumba ya kisasa yenye nafasi

๐Ÿ’ฐ Bei ya Kiwanja:
Tsh 38,000,000 tu
(Maongezi madogo yapo kwa mteja makini)
Service charge: Tsh 20,000

Kiwanja kipo katika sehemu safi na yenye maendeleo โ€” uwekezaji salama, wenye faida, na usiopaswa kuachwa!

๐Ÿ“ž Wasiliana:
0742260844
0657384670