House for sale at Kilimanjaro

video thumbnail
Sh. 8,500,000

Type

House

Description

HAYA NJOO UJIFICHE HAPA KUKIMBIA MANYANYASO YA MAMA MWENYE NYUMBAπŸ˜‡

HAYA KIMFAACHO MTU CHAKE JAMANI.

KIJUMBA HIKI HAPA KIPYAA HAKIJAKALIWA, MWENYEWE KAKWAMA..

NI CHUMBA MASTER NA SITTING ROOM. IPO KONGOWE MLAMLEN NI MITA 50 TU KUTOKA BARABARA KUBWA YA MLAMLEN. UKISHUKA TU KWENYE BAJAJI UNAINGIA HOME. KUTOKA KONGOWE BAJAJ 700, BODA 1000 TU

BEI MIL 8.5 CHAP

UMILIKI : MAUZIANO SERIKALI YA MTAA

CALL & WHATSAPP: 0784 919 453,, CALL ONLY 0658 582 977

HUDUMA ZOTE ZIPO... GHARAMA YA KUPELEKWA SITE NI SH ELF 50. HII HAIHUSISHI USAFIRI.

KUJIUNGA NA GROUP LETU LA WHATSAP BONYEZA HAPA πŸ‘‡ https://chat.whatsapp.com/BLDVlGxAuXH2z2p5y9u9fq
.
.

.
.

.
#regrann #nyumbazakisasa #nyumbanichoo #nyumbanzuri #auction #dalaliwanyumba #viwanja #mashamba #plot #kiwanja #cloudstv #nyumbanafuu #nyumbayakupanga #nyumbayangu #nyumbadareslaam #clouds #maishaninyumba
#daressalaam #wemasepetu #mwanza #kilimanjaro #nyumba #magari #tanzania #biashara #bongo #kariakoo #business #home #houseforsale