1 Bedroom House for Rent in Kibosho Road, Kilimanjaro

Amenities
Description
📍Habari ndugu mteja wa Nyumba moshi . Nakuletea Nyumba ya chumba kimoja , choo na bafu yake , sebule na jiko la sink , ipo Kibosho road Moshi , mita yake ya maji , ndani ya geti , mita chache kutoka lami .
📍Kodi 230,000 Kwa mwezi , MALIPO miezi 6 au zaidi . kuona Nyumba ni 10,000 , MALIPO Kwa Dalali ni MWEZI mmoja .
📞📞0672701329📞📞
#moshi
#dalalimoshi_nyumba
#viraltoday
#trendingvideo
#100millionsviews















