Search

4 Bedrooms House for Rent in Mbezi Mpigii, Dar Es Salaam

Sh. 1,500,000/month

Description

🏠 NYUMBA NZURI NA YA KISASA INAPANGISHWA MBWENI MPIGII!
Nyumba ya kifahari yenye muonekano wa kisasa kabisa, inauzika kwa ubora na nafasi ya kutosha kwa ajili ya familia yako.
Sifa za Nyumba:
Muundo: Stand alone, yenye ghorofa mbili (ina rooftop juu kabisa).
Vyumba: Vyumba 4 vikubwa sana na vyote ni Master Bedrooms.
Jiko: Jiko la kisasa lililokamilika na lenye makabati mazuri kabisa.
Makabati: Vyumba vyote vina makabati mazuri ya kisasa (wardrobes).
Nje: Basi ya boy’s quarters (boycota), uwanja umewekwa paving blocks za kisasa, na ipo ndani ya ukuta (fence).
Eneo: Ipo Mbezi Mpigii, mtaa mzuri, tulivu na karibu kabisa na barabara kuu.
Mawasiliano:
📞
📞
@dalaliuhuru_mbweni

DALALI BORA Tz🇹🇿

dalaliuhuru

@dalaliuhuru

View Listings

Similar properties in Mbezi, Dar Es Salaam

DALALI BORA Tz🇹🇿