3 Bedrooms House for sale in Kigamboni Fani City, Dar Es Salaam

Amenities
Description
π‘ NYUMBA INAUZWA β KIGAMBONI, FANI CITY π‘
Je, unatafuta nyumba nzuri katika eneo linalokua kwa kasi? Hii ni fursa yako!
β
Vyumba 3, vyote Master Bedroom
β
Sebule kubwa pamoja na jiko
β
Ukubwa wa eneo: SQM 400
β
Nyumba imekamilika kwa asilimia 90
β
Imeshafungwa madirisha, milango, mfumo wa umeme na taa tayari
β
Yamebaki marekebisho madogo tu ya mwisho
π Mahali:
β’ Mita chache kutoka barabara ya mtaa
β’ Kilomita 9 kutoka Feri ya Kigamboni
β’ Kilomita 10 kutoka Daraja la Nyerere
π° Bei: TZS Milioni 65
π€ Maongezi kidogo yapo.
Usikose nafasi hii ya kumiliki nyumba bora kwa makazi au uwekezaji katika eneo la Fani City, Kigamboni.
π 0769554221
#trendingvideo #istagram #realestatemarket #tanzania #trendingsongs















