Search

3 Bedrooms House for Sale in Kinyerezi Songas, Dar Es Salaam (400 sqm)

Sh. 60,000,000

Amenities

Electricity
Water Supply
Public Toilet
Near Paved Road
Parking Space

Description

๐Ÿก NYUMBA INAUZWA KINYEREZI SONGAS โ€“ LOCATION NZURI SANA! ๐Ÿ”ฅ

Fursa adimu ya kumiliki nyumba iliyopo Kinyerezi Songas, ikiwa ni nyumba ya pili kutoka barabara ya lami. Eneo linafikika kwa urahisi na lina mazingira mazuri ya kuishi pamoja na uwekezaji.

โœ… Ina:

* Vyumba 3 vya kulala (kimoja Master)
* Sebule kubwa
* Jiko
* Choo cha Public
* Umeme na maji vinapatikana
* Parking ya kutosha

๐Ÿ“ Ukubwa wa eneo: Sqm 400

๐ŸŒŸ Inafaa kwa:

* Makazi ya familia
* Uwekezaji wa nyumba za kupangisha
* Apartments
* Lodge au biashara nyingine kutokana na location yake nzuri karibu na barabara kuu

๐Ÿ’ฐ Bei: Milioni 60 Tu (BEI NI FIXED)

๐Ÿ”ฅ Wahi Sasa, Offer Kabambe!

Miliki Kesho Yako Leo!!!

๐Ÿ“ž Muhitaji piga:

Service Charge / Gharama ya Huduma: 30,000/=

๐Ÿ  Karibu Tajiri โ€“ Dalali Wako Wakishua! โœจ

Dalali Tabata

dalaliwakishua

@dalaliwakishua

View Listings

Similar properties in Kinyerezi, Dar Es Salaam

Dalali Tabata