3 Bedrooms House for sale at Mbagala, Dar Es Salaam

video thumbnail
Sh. 27,000,000

Type

House

Bedrooms

3

Description

Nyumba nzuri sana ina uzwa tsh mil 27 tu
Ni nyumba ya 8 tu
Kutoka bara bara kuu ya lami ya chamaz
Nyumba ipo mbagala chamaz jiji la dar es salaam wilaya ya temeke kata ya chamaz mtaa wa msufini
Vyumba vipo vitatu vya kulala kimoja ni master bedroom
Ina stting room na dainingi room Ina jiko na store Ina public toilet ๐Ÿšป Ina maji na umeme upo wa luku ina fens bado kuimalizia tu
Njoo ๐Ÿƒโ€โ™€๏ธโ€โžก๏ธ boss wangu nkuzie hii nyumba nzuri sana bei ya kutupa sanaโ˜Ž๏ธ0623997896