Search

3 Bedrooms House for Sale in Mbeweni Mpiji, Dar Es Salaam (800 sqm)

Sh. 250,000,000

Description

šŸ” NYUMBA INAUZWA – MBWENI MPIJI, DAR ES SALAAM šŸ”„

Unatafuta nyumba ya kuishi na familia yako katika eneo zuri lenye nafasi ya kutosha? Hii ni fursa nzuri sana!

✨ SIFA ZA NYUMBA:
• šŸ›ļø Vyumba 3 vya kulala
• šŸ›‹ļø Sebule kubwa
• šŸ³ Jiko
• 🚽 Public Toilet
• 🌿 Garden yenye nafasi
• šŸ“ Kiwanja SQM 800
• šŸ“œ Hati safi ya Wizara

šŸ’° BEI: TSH MILIONI 250 — maongezi yapo.

šŸ“ Location: Mbweni Mpiji

Nyumba hii inafaa kwa makazi ya familia na pia ni fursa nzuri ya uwekezaji kutokana na ukubwa wa kiwanja. Eneo la Mbweni Mpiji linaendelea kuwa na shughuli nyingi za uuzaji wa nyumba na viwanja, hivyo ni vizuri kufanya site visit na kuhakiki nyaraka kabla ya kufanya manunuzi.

SITE VISIT 50,000
CONTACT # #

dalalismart_tegeta _madale

dalalismart_tegetamadale

@dalalismart_tegetamadale

View Listings
dalalismart_tegeta _madale