Search

2 Bedrooms House for Rent in Tabata Segerea, Dar Es Salaam

 media -1
media -1
Sh. 300,000/month

Description

🏠πŸ”₯ STAND ALONE INAPANGISHWA – TABATA SEGEREA πŸ”₯🏠

Unatafuta nyumba nzuri, yenye nafasi na faragha kwa ajili yako na familia yako? Hii ni fursa nzuri sana! Nyumba ipo Tabata Segerea, kwenye mazingira mazuri na tulivu kwa makazi.

🏑 STAND ALONE
πŸ›οΈ Vyumba 2 vya kulala
⭐ Kimoja ni Master Bedroom
πŸ›‹οΈ Sebule
🍳 Jiko
πŸ’° Bei: 300,000/= kwa mwezi
πŸ“ Location: Tabata Segerea

Nyumba inafaa kwa mtu au familia inayohitaji makazi yenye utulivu, nafasi na privacy. Usipoteze muda kama unatafuta nyumba ya bei nzuri katika eneo la Tabata.

πŸ“ž Kwa maelezo zaidi na kuiona nyumba, piga simu:

πŸ”₯ NYUMBA NZURI – BEI RAFIKI – TABATA SEGEREA! πŸ”₯

DALALI BEDA | NYUMBA TABATA

dalalibeda_tabata1

@dalalibeda_tabata1

View Listings

Similar properties in Segerea, Dar Es Salaam

DALALI BEDA | NYUMBA TABATA