2 Bedrooms House for Rent in Ubungo, Dar Es Salaam
Ubungo, Dar Es Salaam
16 hours ago
Sh. 400,000/month
Description
Vyumba v2 kimoja master sebule choo cha public na jiko
Kod 400000 x4 nyumba mpyaa kabisa
Nyumba ipo ndan ya fanc mazingila mazuli sana parking kubwa
Umeme na maji inajitegemea
Dalali mzoefu mwezi mmoja ulipiapo nyumba sevchage 20,000 kuona nyumba
Mawasiliano 0656623510
Wsp 0752436347















