2 Bedrooms House for sale in Kibaha Kwa Mathias, Pwani

Description
BOMA ZURI SANA LINAUZWA KIBAHA KWA MATHIAS TSH MILIONI 12 TU.
==========
π»Lina vyumba viwili vya kulala
π»Sebule
π» Public toilet
π»Jiko
__________________
βοΈ Lipo kwenye barabara ya mtaa
π Boma Lina ukuta upande mmoja
π Unapaua na kuhamia tu
π Ukubwa wa eneo 15*15
_____________________
π° BEI MILIONI 12 tu.
==========
βοΈ Kupelekwa kuona nyumba Tsh 20k tu
==========
Call/WhatsApp:
#0714972994















