House/Apartment for Rent in Tabata, Dar Es Salaam

video thumbnail
Sh. 300,000 per month

Type

House

Plot Size

400 SQM

Description

🏢🔥 APARTMENTS ZINAUZWA – TABATA BARACUDA 🔥🏢

Fursa adimu ya uwekezaji wa uhakika! 💰

📍 Dakika 2 tu kutoka kituo cha Mwamgongo
🌟 Location nzuri na yenye uhitaji mkubwa wa wapangaji

🔹 Maelezo ya Apartments:

🏠 Jumla ya Units: 14
🛏️ Kila moja: Master + Sebule + Jiko
💵 Kodi ya sasa: 300,000/= kwa mwezi kila unit
📈 Uwezo wa kuongeza hadi 400,000/= kwa kuboresha (AC n.k.)

➡️ Mapato ya sasa: 4,200,000/= kwa mwezi
➡️ Mapato yanayowezekana: 5,600,000/= kwa mwezi

📐 Eneo: Sqm 400
📜 Hati ipo
💰 Bei: Milioni 600 (maongezi kidogo yapo kwa mteja serious)

Huu ni uwekezaji wa muda mrefu na wa uhakika kwa wateja wanaojua biashara.

🔥 Karibu tufanye biashara!
📞 +255 688 412 890

#Tabata #ApartmentsInauzwa #UwekezajiWaUhakika #DalaliWakoWakishua #MilikiKeshoYakoLeo