2 Bedrooms House/Apartment for Rent in Goba, Dar Es Salaam

video thumbnail
Sh. 800,000 per month

Type

House

Bedrooms

2

Description

🏡 APARTMENT FOR RENT – GOBA MAGETI

📍 Ipo dakika 1 tu kutoka barabara kuu

🏠 Apartment Features
• Vyumba 2 vya kulala (ikiwemo Master Bedroom)
• Sebule kubwa na yenye nafasi
• Jiko la kisasa lenye built-in cabinets
• Air Conditioning (AC) nyumba nzima
• Wardrobes zilizofungwa ukutani kwenye vyumba vyote

🚗 Parking & Security
• Fenced na secure compound
• Parking ya kutosha kwa wakazi

💰 Rental Details
• Kodi: TZS 800,000 kwa mwezi
• Malipo: Miezi 6 advance

📑 Service & Agency Fees
• Viewing Fee: TZS 20,000
(malipo ya mara moja hadi utakapopata nyumba)
• Brokerage Fee: Sawa na kodi ya mwezi 1

📞 Kwa maelezo zaidi au kupanga viewing
Call / WhatsApp: 0744 701 ___