2 Bedrooms House/Apartment for Rent at Kimara, Dar Es Salaam

 media -1
media -1
media -2
media -3
media -4
media -5
media -6
Sh. 400,000

Type

House

Bedrooms

2

Description

🇹🇿 #APARTMENT SAFI INAPANGISHWA KIMARA KOROGWE – KARIBU NA BARABARA KUU

📍 Kimara Korogwe
🕗 Hii hapa kwa wale wavivu wa kutembea mmefikiwa sasa. Umbali wa kutoka standi ya mwendo kasi dakika 3 kwa mguu, haitaji bodaboda.

🏡 SIFA ZA NYUMBA

Vyumba viwili, kimoja Master
Sebule
Jiko
Public toilet ya ndani
Umeme & maji (inajitegemea)
Maji yanapatikana masaa 24/7.
Fenced car parking kubwa sana

👉 Nyumba iko wazi kwasasa

GHARAMA
Kodi Tsh 400,000 x miezi 6/=
Malipo ya dalali Tsh 400,000/=
Service charge Tsh 15,000/=

📞 #Piga_simu👇