2 Bedrooms House/Apartment for Rent in Tabata, Dar Es Salaam

video thumbnail
Sh. 800,000 per month

Type

House

Bedrooms

2

Plot Size

950 SQM

Description

🔥 FURSA YA UWEKEZAJI – KIWANJA NA APARTMENTS ZINAUZWA TABATA SEGEREA MWISHO 🔥

📍 Location: Tabata Segerea Mwisho
🚶 Umbali: Takribani dakika 10 kutoka kituoni (au karibu mita 500)

📐 Ukubwa wa kiwanja: SQM 950
📄 Nyaraka: Hati Miliki

🔒 Kiwanja kipo ndani ya fence na kina geti

🏘 Ndani kuna Apartments 4 za kumalizia
• Ramani ya vyumba viwili kila unit
• Zimebakia finishing chache kukamilisha

💰 Faida ya uwekezaji:
Ukiikamilisha vizuri unaweza kupangisha kila nyumba kuanzia laki 500,000/= hadi 800,000/= kwa mwezi, kulingana na finishing utakayoweka.

✅ Eneo zuri kwa:
• Uwekezaji wa kupangisha
• Makazi
• Biashara ndogo ndogo

💰 Bei: Milioni 200

📞 Wasiliana: 0688 412 890
👀 Service charge 30,000/=

Karibu sana ndugu mteja uje uwekeze. Fursa kama hii haikai muda mrefu sokoni.
Dalali wako Wakishua.