2 Bedrooms House/Apartment for sale in Kisota Ushuwani, Kigamboni, Dar Es Salaam

Type
House
Bedrooms
2
Plot Size
300 SQM
Nearest Road
200m
Amenities
Description
π’ BOMA LA KISASA LENYE APARTMENTI LINAUZWA β KIGAMBONI, KISOTA USHUWANI
Fursa adhimu kwa wawekezaji! Pata jengo la kisasa lenye mapato ya uhakika katika eneo linalokua kwa kasi la Kigamboni.
Sifa za Mali:
β
Apartmenti 4β¨β
Kila apartment ina:
β Vyumba 2 vya kulala
β Sebule
β Jiko
β
Ukubwa wa kiwanja: Zaidi ya SQM 300β¨β
Kiwanja kimepimwa na kina Hati ya Wizara
Mahali:
π Kisota Ushuwani, Kigamboniβ¨π Mita 200 kutoka barabara kuu ya lamiβ¨π Kilomita 5 kutoka Feriβ¨π Kilomita 4 kutoka Daraja la Nyerere
Bei:
π° TSh Milioni 200 (Mazungumzo kidogo yapo.)
Fursa ya Uwekezaji:
π Apartmenti za vyumba viwili katika eneo hili hupangishwa kwa TSh 600,000 β 800,000 kwa mwezi kwa kila apartment.
π Endapo utaziwekea samani (Fully Furnished), kila apartment inaweza kuingiza hadi TSh 1,500,000 kwa mwezi, hivyo kukupa mapato makubwa na faida ya muda mrefu.
β¨ Huu ni uwekezaji wenye tija kwa yeyote anayehitaji kipato cha uhakika kupitia nyumba za kupangisha.
π Wasiliana nasi: 0769 554221
π―Visit Site 30,000
#trendingvideo #istagram #realestateagent #tanzania #trendingaudio















