2 Bedrooms House/Apartment for sale in Tabata Sanene, Dar Es Salaam

Description
π‘ APARTMENTS MPYA ZINAUZWA β TABATA SANENE
Unatafuta nyumba ya kupata kipato cha uhakika?
Hii ndiyo fursa yako!
π Zipo Tabata Sanene, takribani dakika chache kutoka stendi, barabara ni nzuri na panafikika kwa urahisi.
Eneo ni tulivu.
β¨ Sifa za nyumba:
β
Apartments 2, kila moja ikiwa na:
* Vyumba 2 vya kulala (1 Master Bedroom)
* Sebule
* Jiko
* Choo cha wageni
π§ Kila apartment ina:
* LUKU yake binafsi
* Maji yake binafsi
* Water reserve tank
π Ukubwa wa kiwanja: SQM 650
π Parking ipo
ποΈ Bado kuna nafasi ya kujenga apartments nyingine
π° Mapato ya sasa:
Kila apartment inalipwa TSh 400,000 kwa mwezi, hivyo mapato ni TSh 800,000+ kwa mwezi.
π Fursa ya kuongeza mapato:
Ukifunga A/C, water heater, makabati ya kisasa jikoni, na kuweka paving, unaweza kuongeza kodi hadi TSh 600,000β800,000 kwa mwezi kwa kila apartment, kutokana na ubora na hadhi ya nyumba hizi.
π΅ Bei: TSh 145,000,000
π Miliki halali ipo, biashara imenyoka.
π Viewing Fee / Service Charge: TSh 30,000
π² Piga: +255 653455561/
0746211113
Dalali Wakishua
Miliki Kesho Yako Leo!!! π₯
#tabata #daressalaam #dalali















