Plots for sale at Kibaha, Pwani

 media -1
media -1
Sh. 800,000,000

Description

Habari nzuri kwa watanzania wote wanaopenda kumiliki Ardhi iliyopimwa,hapa Panaitwa Kibaha Visiga Seminary! Kilomita 1.8 toka Morogoro Road unaweza kujipatia viwanja hivi kwa bei ya shilingi 12,000/= tu kwa square meter.

Hapa ni nyuma kidogo ya Seminary Juniors! Wakatoliki mnaita wakaka wadogo..... AYA TWENDE KAZI.

Ukubwa wa Viwanja hapa ni kuanzia 400m² hadi 800m²

Malipo ya Awali: 1,000,000/=
Kiasi kilichobaki kinalipwa kidogo kidogo ndani ya miezi kumi(10)

Mawasiliano 0659 972 868 au 0763 172 814
Ofisini: Kibaha Misugusugu
Usipange kukosa kiwanja