Search

Residential Plot for Sale in Kinyerezi Ulongoni A, Dar Es Salaam (400 sqm)

 media -1
media -1
Sh. 15,000,000

Amenities

Near Paved Road
Near Road

Description

🏑 KIWANJA KINAUZWA – KINYEREZI ULONGONI A

πŸ“ Unatafuta kiwanja kizuri kwa makazi au uwekezaji? Hiki ndicho fursa sahihi!

πŸ“ Ukubwa: SQM 400 (20m Γ— 20m)
πŸ›£οΈ Kipo kona, kina barabara mbili na kinapakana na barabara ya mtaa.
πŸš— Dakika 2 tu kutoka barabara ya lami.

βœ… Kinafaa kwa:
β€’ Kujenga nyumba ya makazi.
β€’ Uwekezaji wa nyumba za kupangisha.

πŸ’‘ Unaweza kujenga:
🏠 Nyumba 4 za master, sebule na jiko na kila moja ukapangisha TSh 300,000 kwa mwezi.

AU

🏘️ Vyumba 6 vya master (chumba na choo) na kila kimoja ukapangisha TSh 200,000 kwa mwezi.

πŸ’° Bei: TSh Milioni 15
πŸ“Œ Udalali: 10%
πŸ“Œ Service Charge: TSh 30,000

πŸ“ž Muhitaji piga simu:

πŸ”₯ Wahi sasa! Kiwanja hiki kipo katika mazingira mazuri, kinachokua kwa kasi, na ni chaguo bora kwa makazi au uwekezaji.

Dalali Wakishua
Miliki Kesho Yako Leo!!!

Dalali Tabata

dalaliwakishua

@dalaliwakishua

View Listings

Similar properties in Kinyerezi, Dar Es Salaam

Dalali Tabata