Nyumba/Apartment ya chumba kimoja inapangishwa Kimara, Dar Es Salaam


πΉπΏ#CLASSIC #APARTMENT #INAPANGISHWA
βββββ
πKimara Korogwe, Dakika 15 Kutembea Toka Kituo Cha Mwendokasi.
#SIFAZAKE
Hii ina Chumba Kimoja Master, Sebule na Jiko
Umeme Luku yake & Majiyanaflow ndani
Iko ndani ya fensi na Parking nikubwa
Imefungwa Full Air conditioner
Pazuri Sana hapa
Kodi Tsh 350,000/=Γ6(Miezi Sita)
Malipo ya Dalali Tsh 350,000/=
Service Charge Tsh 15, 000/=
______________
#Piga_simu π
,
#0688573777. π&Whatsapp
,
#please #Follow usπ
Karibu Sana Mtejaπ