Nyumba/Apartment ya chumba kimoja inapangishwa Kimara, Dar Es Salaam


🇹🇿 #APARTMENT #INAPANGISHWA
➖➖➖➖➖
📍Kimara Korogwe
🕑 1km Umbali kutoka stand ya mwendo kasi dk 12–15 kwa mguu usafiri boda 1,000/= mpaka hapo.
📌Hii inakuwa wazi Tar 06/10/2025 kuona ndani na kufanya malipo luksa kabisa.
#SIFAZAKE
🔹Chumba Kimoja Master kikubwa
🔹Sebule kubwa
🔹Jiko kubwa
🔹Umeme LUKU yake, Maji yanaflow ndani
🔹Fence amna Car Parking Kubwa
#GHARAMA
🔶Kodi: Tsh 250,000/= × 6 (Miezi Sita)
Dalali mzoefu mwezi mmoja ulipiapo nyumba sevchage 15,000 kuona nyumba
Mawasiliano 0656623510
Wsp 0752436347