Nyumba/Apartment ya chumba kimoja inapangishwa Kimara, Dar Es Salaam







🇹🇿 #APARTMENT #INAPANGISHWA 
➖➖➖➖➖
📍kimara Bucha 
🕑km 1 kutoka standi ya mwendo kasi usafili boda boda 1000 kwa mguu dakika 15 
#SIFAZAKE
🔹Chumba Kimoja Master
🔹Sebule
🔹Hakuna jiko ❌
🔹Umeme luku submiter 2 inafungwa
🔹Maji yanaflow ndani masaa 24
🔹Fenced &  Parking Car kubwa 
👉Ya chini ndo inakuwa wazi 
📌 Hii ipo wazi kwa kuhamia 
🔶Kodi Tsh 200,000/=×4 ,5,(Mpaka  Sita)
🔶Malipo ya Dalali roony Tsh 200, 000/=
🔶Service Charge Tsh 15, 000/=
______________
#Piga_simu
O627977383
,
#Follow us🙏
Karibu Sana Mteja😊



















