Nyumba ya vyumba viwili inapangishwa Kibamba, Dar Es Salaam







#STAND ALONE HOUSE/NYUMBA INAYOJITEGEMEA YENYEWE KWENYE FENCE INAPANGISHWA KIBAMBA GOGONI 
Vyumba 2 vya kulala vyote master bedrooms sebule jiko na public toilet 
Kodi 400,000 kwa mwezi ×3
Ipo kwenye fence peke yake kwahiyo Inajitegemea kila kitu
Umbali km 1 usafiri boda boda 1000 
Dalali mzoefu mwezi mmoja ulipiapo nyumba sevchage 15,000 kuona nyumba 
Mawasiliano 0656623510
Wsp 0752436347




















