Nyumba ya vyumba viwili inapangishwa Makongo, Dar Es Salaam


🏠 NYUMBA MPYA KABISA INAPANGISHWA
📍 Makongo Juu
💰 Kodi: 1,100,000/= kwa mwezi
🗓 Malipo: Miezi 6
🛏 Vyumba 2 vya kulala (kimoja Master)
🛋 Sebule
🪟 Jiko
🚻 Public Toilet
🛡 Ndani ya fence (usalama upo)
🚗 Parking inapatikana
❄️ Full AC
🧺 Washing Machine ipo
💵 Service Charge: 30,000/=
📝 Agent Commission: Kodi ya mwezi mmoja
✅ Eneo tulivu na zuri kwa makazi
✅ Inafaa familia au mtu binafsi
⚡ Ni mpya kabisa – nafasi adimu, wahi sasa!
📞 Wasiliana: 0678512666