Nyumba ya vyumba viwili inapangishwa Mbezi, Dar Es Salaam


๐ฏ๏ธMBEZI MAGARI SABA near ST JOSEPH UNIVERSITY
๐ 500,000/= *3 ( kodi hata miezi 3)
_________
___
โข Vyumba 2 vya kulala (Vyote Master)
โข Sebule
โข Jiko Zuri
โข Public toilet
* Inajitegemea UMEME na Maji
* Parking
* Ndani ya Fensi
#Umbali wa dakika 14 kwa kutembea
______
๐ *MUHIMU SANA*
#Kupelekwa kuona nyumba Tsh 15,000
#Malipo ya Dalali ni Tsh 500,000/=
______
0753-172-516



















