Nyumba ya vyumba viwili inapangishwa Mbezi, Dar Es Salaam







KUNA MABADILIKO YA BEI SIO TENA 280k BALI NI 300K
NYUMBA Inapangishwa ; #VYUMBA_VIWILI
Kodi ni Tsh 300,000/= kwa Mwezi
๐MBEZI KIBANDA CHA MKAA
๐Vyumba Viwili (kimoja master)
๐Sebule
๐Jiko lenye Makabati
๐Public toilet
๐Maji yapo
๐Luku yako
๐Umbali wa kilometa 1 kutoka morogoro road
Nipigie/ WhatsAp
+255 684 88 14 29
+255 658 58 64 49
MSHATI



















