Nyumba ya vyumba viwili inapangishwa Ubungo, Dar Es Salaam


π£For rent at UBUNGO MAJI
π Kodi 300,000/= *6
____________________________
β’ Sebule
β’ Vyumba 2 Vya Kulala (Haina master)
β’ Jiko zur
β’ Public Toilet ndani
π Ya juu ndio itakuwa wazi
* Maji Ndani
* Inajitegemea Umeme
* Haina Fensi
* Mazingira salama, na gari inafika had hapo
#Umbali wa Kutembea Dakika 8 kutoka kituoni, na dakika nne tu kutoka barabara ya Lami
#Inakuwa wazi tarehe 26/09/2024, kulipia Ruksa
___________
*MUHIMU SANA:-*
#Malipo ya dalali Nasson ni 250,000/=
#Service charge ni 15,000/=
____________________________
β: 0753-172-516



















