Nyumba ya vyumba viwili inapangishwa Goba, Dar Es Salaam


NYUMBA YA KUPANGISHWA
๐ GOBA CENTER
KODI YA MWEZI: TZS 750,000 Tsh
MALIPO YA AWALI: Miezi 6
Eneo:
Goba Center
Vipengele vya Mali:
โข Vyumba Viwili vya Kulala: (chumba kimoja cha master chenye bafu maalum)
โข Sebule: Ndefu na pana
โข Jikoni: Ya kisasa yenye kabati za ubora wa juu
โข Maegesho: Nafasi ya kutosha ndani ya kiwanja
Huduma za Msingi:
โข Maji: Bila malipo
โข Umeme: Mita ya prepaid ya kujitegemea
Urahisi na Usafiri:
Ufikiaji rahisi wa usafiri wa umma na huduma muhimu
Gharama za Huduma:
โข Ada ya Kuangalia: TZS 20,000 (mara moja, inatumika hadi utakapopata nyumba)
โข Ada ya Wakala: Thamani ya kodi ya mwezi mmoja (inatolewa tofauti)
Mawasiliano kwa Kuangalia na Taarifa Zaidi:
Piga simu/WhatsApp: 0718 759287




















