Nyumba/Apartment ya vyumba viwili inapangishwa Bunju, Dar Es Salaam


🌟INAPANGISHWA–APARTMENT YA VYUMBA 2🏡
📍 Mahali: Bunju (Karibu na Barabara Kuu)
🔐 Ndani ya fensi – usalama wa kutosha
🏠 Sifa za Nyumba:
🛏️ Vyumba 2 vya kulala
🛋️ Sebule yenye nafasi
🚻 Choo cha kutumia pamoja (shared)
⚡ Umeme wa LUKU – unajitegemea
🚿 Maji ya Dawasco – mnashare watu wawili
🪙 200,000 TSh kwa mwezi
📆 Kodi kuanzia miezi 3
📞 Pigia / WhatsApp:
📲 0687 800 788