Nyumba/Apartment ya vyumba viwili inapangishwa Goba, Dar Es Salaam


APARTMENT INAPANGISHWA;
(ZIPO TATU KWENYE COMPOUND)
๐งLocation :: GOBA NJIA NNE - NJIA YA MADALE
๐งBei :: 500,000Tsh kwa Mwezi
Muundo wa Nyumba;
๐Vyumba viwili (Kimoja Masta)
๐A/C kwenye Master na sebuleni
๐Sebule
๐Choo cha Public
๐Jiko lenye makabati
๐Fence
Wasiliana nasi Kwa Maelezo zaidi kupitia;
0652472014
Call /Whatsapp



















