Nyumba/Apartment ya vyumba viwili inapangishwa Mbezi, Dar Es Salaam







(150,000X6)MBEZI LUGURUNI 1.8KM BODABODA ELF MOJA
➖➖➖➖➖➖➖➖
Apartment nzuri sana inapangishwa MBEZI MWISHO LUGURUNI ilipo Manispaa ya Ubungo na Ofisi ya mkuu wa wilaya ya UBUNGO
Apartment hii ina sifa zifuatazo
VYUMBA VIWILI
HAKUNA MASTER
SEBULE
JIKO
CHOO CHA PUBLIC NDANI
NDANI YA FENCE
Bei: 150,000 × 6
Luku unajitegemea
Maji yanaflow ndani
Ndani ya fensi na Parking kubwa sana
Apartment hii ipo MBEZI MWISHO LUGURUNI km 1.8 kutoka kituoni
Bodaboda 1000 tu mpaka mlangoni
Service charge ni shilingi 15,000
Agent fee is one month payment
Contact:
0716223412
0618976024



















