Nyumba ya vyumba vitatu inapangishwa Goba, Dar Es Salaam


STANDALONE INAPANGISHWA
๐งLocation :: GOBA NJIA NNE - NJIA YA MADALE
๐งBei :: Tsh. 500,000 kwa Mwezi
Muundo wa Nyumba;
๐Vyumba Vitatu (Kimoja ni master)
๐Sebule kubwa
๐Dinning
๐Choo cha Public
๐Jiko zuri linafungwa Kabati
๐Fence
Wasiliana nasi Kwa Maelezo zaidi kupitia;
0783558470
Call /Whatsapp