Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Mbezi, Dar Es Salaam


NYUMBA YENYE VYUMBA VITATU (3) TSHS.35 MILIONI TU, MBEZI-MSUMI.
Hii nyumba maboresho yanayohitajika ni madogo.
Ina jumla ya vyumba vya kulala vitatu 3 (Masta 1)
Pia ina Sebule, Jiko, Dining-room,
Store na Choo cha Familia ndani.
Kiwanja kina ukubwa wa SQM.350.
Umiliki ni MKATABA WA MAUZIANO.
_____________
ANGALIZO:
Malipo ya Dalali ni 10%
Kuona ni Tshs.50,000.
(Unalipa wewe MNUNUZI)
Tafadhali wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratatibu zangu.
+255 714 591 548
_____________mpg