Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Mbezi, Dar Es Salaam


NYUMBA NZURI, VYUMBA 3,TSHS.110 MILIONI, MBEZI- MSHIKAMANO.
Hii ni nyumba nzuri ya kisasa.
Kiwanja kina ukubwa wa SQM. 1,500.
Umiliki ni MKATABA WA MAUZIANO.
Ipo umbali wa kilomita 2 tu kutoka MAGUFULI TERMINAL (Boda Tshs.1,500)
Vyumba 3( Masta 1)
Pia kuna Sebule, Jiko, Dining-room,
Store na Choo cha Familia ndani
_________________
ANGALIZO:
Malipo ya Dalali ni 10%
Kuona ni Tshs.50,000.
(Unalipa wewe MNUNUZI)
Tafadhali wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratatibu zangu.
+255 714 591 548
_________________mpg