Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Mbezi, Dar Es Salaam


INAUZWA NA BANK,30 MILIONI,MBEZI- KIBANDACHAMKAA.
Hapa ni MBEZI LUIS.
KIBANDA CHA MKAA/KITUO CHA MALORI.
Umbali wa wastani Mita 300 kutoka kutoka Barabara ya Morogoro.
Nyumba yenye vyumba 3( Masta 1)
Pia ina Sebule, Jiko, Dining-room,
Store na Choo cha Familia ndani.
Kiwanja kina ukubwa wa SQM. 750.
Umiliki ni MKATABA WA MAUZIANO.
_____________
ANGALIZO:
Malipo ya Dalali ni 10%
Kuona ni Tshs.50,000.
(Unalipa wewe MNUNUZI)
Tafadhali wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratatibu zangu.
+255 714 591 548
_____________jj
Ukihitaji kukagua taarifa mapema Tafadhali.