Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Msongola, Dar Es Salaam


NYUMBA YENYE VYUMBA 3,TSHS.36 MILIONI, MSONGOLA.
Vyumba 3 (Masta 1) Pia kuna Sebule, Jiko, Dining-room, Store na Choo cha Familia ndani.
Pia kuna Frem za Maduka/Biashara 3.
Ni Gari moja tu kufika Mjini na Jirani n Kituo cha Daladala.
____________
ANGALIZO:
Malipo ya Dalali ni 10%
Kuona ni Tshs.50,000.
(Unalipa wewe MNUNUZI)
Tafadhali wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratatibu zangu.
+255 714 591 548
___________mskv