Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Tabata, Dar Es Salaam


Kiwanja kizuri Sana kinauzwa Chenye Nyumba ya Vyumba 3 vya Kulala Tabata Segerea mwisho
๐Location: Tabata Segerea Mwisho Dar es salaam Tanzania
Bei: 60 Milion #maongezi_yapo
Service Charges: 30,000 (Unalipia Mala Moja Tu )
๐Ukubwa wa Kiwanja Kina Sqm 1672
๐Umiliki- Fully Documented
Umbali ni 1 KM kutoka Main Road
Matumizi- Makazi- Biashara
Kiwanja kipo sehem nzuri sana Kumejengeka mitaa yake imenyooka sana pia panafikika kwa ulahisi mno unaweza kujenga kwa kuishi au kufanya Biashara
Huduma zote zipo
โ
๏ธ Maji
โ
๏ธ Umeme
โ
๏ธ Shule
โ
๏ธ Hospital
Kwa Mawasiliano Zaidi
Calls:
โ๏ธ0785916587 Whatsp / Calls
โ๏ธ0627511524 Whatsp/Calls