Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Mbagala-Chamazi, Dar Es Salaam (400 sqm)


Aina
Nyumba
Vyumba
3
Bafu
1
Ukubwa
400 SQM
Sifa
Maelezo
NYUMBA YA VYUMBA 3,TSHS.48 MILIONI,MBAGALA-CHAMAZI.
Ni mpya na YAKUHAMIA ndani ya Fensi.
Ipo SQKU-ILULU.
Kiwanja SQM.400.
Umiliki ni MKATABA WA MAUZIANO.
Vyumba vya kulala 3 ( Masta 1)
Pia ina Sebule, Jiko, Dining-room,
Store na Choo cha Familia ndani.
_______________
ANGALIZO:
Malipo ya Dalali ni 10%
Kuona ni Tshs.50,000.
(Unalipa wewe MNUNUZI)
Tafadhali wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratatibu zangu.
+255 714 591 548
________________rk



















