Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Mbagala, Dar Es Salaam


Mbagala chamaz kwa mkongo jiji la dar es salaam wilaya ya temeke kata ya chamaz mtaa wa dovya hii si ya kuikosa kabisa ina uzwa bei nzuri sana tsh mil 150 tu
Nyumba kubwa na boycott ya vyumba viwili vya kulala kimoja ni master bedroom
Nyumba kubwa Ina vyumba 3 vya kulala vyumba viwili ni masters bedroom ina stting room na dainingi room na jiko pamoja na public toilet ina maji na umeme upo wa luku
Eneo kubwa square mitar 500 ina documents ya mauziano ya office ya serikali ya mtaa 🏬
Contact
0625584914



















