Nyumba ya vyumba vinne inapangishwa Bunju, Dar Es Salaam


Aina
Nyumba
Vyumba
4
Bafu
4
Sifa
Maelezo
Nyumba inapangishwa ,ipo Bunju(stand alone).Ina vyumba vinne (3 master bedroom).Ina sebule,dinning ,jiko ,store na public toilet
Huduma za maji na umeme zinajitegemea.
Kodi ni tsh.800,000/= ( kwa miezi sita).
Kwa maelezo zaidi piga simu 0687347670



















