Nyumba ya vyumba vinne inauzwa Tabata, Dar Es Salaam


Nyumba Nzuri Sana Inauzwa
Mahali: Tabata Kinyerezi Saluni
Bei: Milioni 300 (Maongezi Yapo)
Dk2 Kutoka Lami Ya Tabata, Mtaa Ni Wa Kishua Sana🙌🏻
☑️Sqm666
☑️Vyumba 4, Vitatu Ni Master, Sebule, Dining, Jiko Na Choo
☑️Hati Miliki Ya Wizara
☑️Cctv Camera, Fensi Ya Umeme
☑️Maji Dawasa & Reserve Tank
Gharama Ya Kuoneshwa Ni 50,000/= (Inalipwa Maramoja Na Itadumu Mpaka Upate)
Whatsapp/Call: 📞 0688 412 890
Viwanja Na Office Space Pia Zinapatikana Kwa Size Zote. Karibuni Sana Wateja Wangu🙏
#Nyumba #Dalali