Nyumba ya vyumba vinne inauzwa Makumbusho, Dar Es Salaam (400 sqm)







Aina
Nyumba
Vyumba
4
Bafu
2
Ukubwa
400 SQM
Sifa
Maelezo
Nyumba nzuri na mpya inauzwa bei milion 650, ukubwa wa eneo la kiwanja square meter 400, umiliki nyumba ina hati miliki ya wizara ya aridhi, ina vyumba 4 vya kulala vyumba vyote master berooms, ina sebule 2, jiko lenye makabati, kubwa, dining room 2, public toilet 2, store, cctv camera, electric fence, remote control gate, full air-condition & fan, Location makumbusho dar es salaam
Calls/Whatsapp 0768682919 au 0653233641
Service survey charge tsh 50000
Napatikana tabata kinyerezi mbuyuni opposite na ngekili hotel dar es salaam




















