Apartment ya chumba kimoja inapangishwa Tabata Kinyerezi mwisho, Dar Es Salaam







Aina
Apartment
Vyumba
1
Sifa
Maelezo
Chumba master na jiko inapangishwa bei 170000 kwa mwezi kodi kianzia miezi 6, umeme na maji unajitegemea, fan, parking, fence, reserve water tank, kutoka kituoni dakika 2 hadi 4 hivi, Location tabata kinyerezi mwisho dar es salaam
Calls/Whatsapp 0653233641 au 0768682919
Service survey charge tsh 15000
Au malipo ya dalali endapo ulipapo apartment hii




















